Isa. 12:1 Swahili Union Version (SUV)

Na katika siku hiyo utasema,Ee BWANA, nitakushukuru wewe;Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia,Hasira yako imegeukia mbali,Nawe unanifariji moyo.

Isa. 12

Isa. 12:1-6