Isa. 11:16 Swahili Union Version (SUV)

Itakuwako njia kuu kwa mabaki ya watu wake watakaobaki, watokao Ashuru, kama vile ilivyokuwako kwa Israeli, katika siku ile waliyotoka katika nchi ya Misri.

Isa. 11

Isa. 11:11-16