9. Maana Wewe, BWANA, ndiwe Uliye juu,Juu sana kuliko nchi yote;Umetukuka sana juu ya miungu yote.
10. Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu;Huwalinda nafsi zao watauwa wake,Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.
11. Nuru imemzukia mwenye haki,Na furaha wanyofu wa moyo.