Zab. 97:10-11 Swahili Union Version (SUV)

10. Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu;Huwalinda nafsi zao watauwa wake,Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.

11. Nuru imemzukia mwenye haki,Na furaha wanyofu wa moyo.

Zab. 97