4. Nitataja Rahabu na BabeliMiongoni mwao wanaonijua.Tazama Filisti, na Tiro, na Kushi;Huyu alizaliwa humo.
5. Naam, mintarafu Sayuni itasemwa,Huyu na huyu alizaliwa humo.Na Yeye Aliye juuAtaufanya imara.
6. BWANA atahesabu, awaandikapo mataifa,Huyu alizaliwa humo.