Zab. 78:8-10 Swahili Union Version (SUV)

8. Naam, wasiwe kama baba zao,Kizazi cha ukaidi na uasi.Kizazi kisichojitengeneza moyo,Wala roho yake haikuwa amini kwa Mungu.

9. Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde,Walirudi nyuma siku ya vita.

10. Hawakulishika agano la Mungu;Wakakataa kuenenda katika sheria yake;

Zab. 78