Zab. 62:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Hakika binadamu ni ubatili,Na wenye cheo ni uongo,Katika mizani huinuka;Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.

10. Msiitumainie dhuluma,Wala msijivune kwa unyang’anyi;Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.

11. Mara moja amenena Mungu;Mara mbili nimeyasikia haya,Ya kuwa nguvu zina Mungu,

Zab. 62