9. Hakika binadamu ni ubatili,Na wenye cheo ni uongo,Katika mizani huinuka;Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.
10. Msiitumainie dhuluma,Wala msijivune kwa unyang’anyi;Mali izidipo msiiangalie sana moyoni.
11. Mara moja amenena Mungu;Mara mbili nimeyasikia haya,Ya kuwa nguvu zina Mungu,