Zab. 54:4-6 Swahili Union Version (SUV)

4. Tazama, Mungu ndiye anayenisaidia;Bwana ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.

5. Atawarudishia adui zangu ubaya wao;Uwaangamize kwa uaminifu wako.

6. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu;Ee BWANA, nitalishukuru jina lako, maana ni jema.

Zab. 54