3. Kwa maana wageni wamenishambulia;Watu watishao wananitafuta nafsi yangu;Hawakumweka Mungu mbele yao.
4. Tazama, Mungu ndiye anayenisaidia;Bwana ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.
5. Atawarudishia adui zangu ubaya wao;Uwaangamize kwa uaminifu wako.
6. Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu;Ee BWANA, nitalishukuru jina lako, maana ni jema.