Zab. 54:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe,Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.

2. Ee Mungu, uyasikie maombi yangu,Uyasikilize maneno ya kinywa changu.

3. Kwa maana wageni wamenishambulia;Watu watishao wananitafuta nafsi yangu;Hawakumweka Mungu mbele yao.

Zab. 54