Zab. 25:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Ee BWANA, nakuinulia nafsi yangu,

2. Ee Mungu wangu,Nimekutumaini Wewe, nisiaibike,Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.

3. Naam, wakungojao hawataaibika hata mmoja;Wataaibika watendao uhaini bila sababu.

Zab. 25