Zab. 123:2 Swahili Union Version (SUV)

Kama vile macho ya watumishiKwa mkono wa bwana zaoKama macho ya mjakaziKwa mkono wa bibi yake;Hivyo macho yetu humwelekea BWANA, Mungu wetu,Hata atakapoturehemu.

Zab. 123

Zab. 123:1-3