Zab. 123:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Nimekuinulia macho yangu,Wewe uketiye mbinguni.

2. Kama vile macho ya watumishiKwa mkono wa bwana zaoKama macho ya mjakaziKwa mkono wa bibi yake;Hivyo macho yetu humwelekea BWANA, Mungu wetu,Hata atakapoturehemu.

3. Uturehemu, Ee BWANA, uturehemu sisi,Kwa maana tumeshiba dharau.

Zab. 123