Zab. 120:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. Akupe nini, akuzidishie nini,Ewe ulimi wenye hila?

4. Mishale ya mtu hodari iliyochongoka,Pamoja na makaa ya mretemu.

5. Ole wangu mimi!Kwa kuwa nimekaa katika Mesheki;Na kufanya maskani yanguKatikati ya hema za Kedari.

6. Nafsi yangu imekaa siku nyingi,Pamoja naye aichukiaye amani.

Zab. 120