3. Akupe nini, akuzidishie nini,Ewe ulimi wenye hila?
4. Mishale ya mtu hodari iliyochongoka,Pamoja na makaa ya mretemu.
5. Ole wangu mimi!Kwa kuwa nimekaa katika Mesheki;Na kufanya maskani yanguKatikati ya hema za Kedari.
6. Nafsi yangu imekaa siku nyingi,Pamoja naye aichukiaye amani.