3. Nyumbani mwake mna utajiri na mali,Na haki yake yakaa milele.
4. Nuru huwazukia wenye adili gizani;Ana fadhili na huruma na haki.
5. Heri atendaye fadhili na kukopesha;Atengenezaye mambo yake kwa haki.
6. Kwa maana hataondoshwa kamwe;Mwenye haki atakumbukwa milele.