Zab. 112:3-6 Swahili Union Version (SUV)

3. Nyumbani mwake mna utajiri na mali,Na haki yake yakaa milele.

4. Nuru huwazukia wenye adili gizani;Ana fadhili na huruma na haki.

5. Heri atendaye fadhili na kukopesha;Atengenezaye mambo yake kwa haki.

6. Kwa maana hataondoshwa kamwe;Mwenye haki atakumbukwa milele.

Zab. 112