Zab. 112:1-2 Swahili Union Version (SUV)

1. Haleluya.Heri mtu yule amchaye BWANA,Apendezwaye sana na maagizo yake.

2. Wazao wake watakuwa hodari duniani;Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.

Zab. 112