Wim. 7:4-7 Swahili Union Version (SUV)

4. Shingo yako ni kama huo mnara wa pembe;Macho yako kama viziwa vya Heshboni,Karibu na mlango wa Beth-rabi;Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni,Unaoelekea Dameski;

5. Kichwa chako juu yako ni kama Karmeli,Na nywele za kichwa chako kama urujuani,Mfalme amenaswa na mashungu yake.

6. Jinsi yalivyo mazuri, yalivyo matamu,Mapenzi katikati ya anasa!

7. Kimo chako kimefanana na mtende,Na maziwa yako na vichala.

Wim. 7