1. Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu,Nalimtafuta, nisimpate.
2. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini,Katika njia zake na viwanjani,Nimtafute mpendwa wa nafsi yangu.Nikamtafuta, nisimpate.
3. Walinzi wazungukao mjini waliniona;Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?