Ufu. 8:1-3 Swahili Union Version (SUV)

1. Hata alipoifungua muhuri ya saba, kukawa kimya mbinguni kama muda wa nusu saa.

2. Nami nikawaona wale malaika saba wasimamao mbele za Mungu, nao wakapewa baragumu saba.

3. Na malaika mwingine akaja akasimama mbele ya madhabahu, mwenye chetezo cha dhahabu, akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi ya watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu, iliyo mbele ya kiti cha enzi.

Ufu. 8