Sef. 1:13 Swahili Union Version (SUV)

Na huko utajiri wao utakuwa mateka, na nyumba zao zitakuwa ukiwa; naam, watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake; nao watapanda mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.

Sef. 1

Sef. 1:6-14