Sef. 1:12 Swahili Union Version (SUV)

Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya sira zao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.

Sef. 1

Sef. 1:8-15