Omb. 2:12 Swahili Union Version (SUV)

Wao huwauliza mama zao,Zi wapi nafaka na divai?Hapo wazimiapo kama waliojeruhiwaKatika mitaa ya mji,Hapo walipomiminika nafsi zaoVifuani mwa mama zao.

Omb. 2

Omb. 2:10-21