2 Sam. 4:9 Swahili Union Version (SUV)

Naye Daudi akawajibu Rekabu na Baana, nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akawaambia, Aishivyo BWANA, aliyenihifadhi roho yangu katika shida zote,

2 Sam. 4

2 Sam. 4:8-11