2 Sam. 12:20 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Daudi akainuka pale chini akaoga, akajipaka mafuta, akabadili mavazi yake; akaingia nyumbani mwa BWANA, akasali; kisha akaenda nyumbani kwake, na alipotaka wakamwandalia chakula, naye akala.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:13-27