2 Sam. 12:19 Swahili Union Version (SUV)

Lakini alipoona ya kuwa watumishi wake wananong’onezana, Daudi alitambua ya kuwa mtoto amekufa; basi Daudi akawauliza watumishi wake, Je! Mtoto amekufa? Nao wakasema, Amekufa.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:16-27