2 Sam. 12:21 Swahili Union Version (SUV)

Watumishi wake wakamwambia, Ni neno gani hili ulilolitenda? Ulifunga na kulia kwa ajili ya mtoto, alipokuwa hai; lakini mtoto alipokuwa amekufa, uliinuka ukala chakula.

2 Sam. 12

2 Sam. 12:20-28