2 Nya. 31:9-11 Swahili Union Version (SUV)

9. Ndipo Hezekia akaulizana na makuhani na Walawi katika habari ya hizo chungu.

10. Azaria kuhani mkuu, wa nyumba ya Sadoki, akamjibu, akasema, Tangu watu walipoanza kuleta matoleo nyumbani kwa BWANA, tumekula na kushiba, na kusaza tele; kwa kuwa BWANA amewabariki watu wake; na kilichosalia ndiyo akiba hii kubwa.

11. Ndipo Hezekia akaamuru kutengeneza vyumba nyumbani mwa BWANA; wakavitengeneza.

2 Nya. 31