2 Nya. 32:1 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, baada ya mambo hayo, na uaminifu huo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja, akaingia katika Yuda, akafanya marago juu ya miji yenye maboma, akadhania kwamba ataipata iwe yake.

2 Nya. 32

2 Nya. 32:1-5