2 Nya. 30:16 Swahili Union Version (SUV)

Wakasimama mahali pao kwa taratibu yao, sawasawa na torati ya Musa, mtu wa Mungu; nao makuhani wakainyunyiza damu, waliyoipokea mikononi mwa Walawi.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:6-25