2 Nya. 30:15 Swahili Union Version (SUV)

Kisha wakaichinja pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili, nao makuhani na Walawi wakatahayarika, wakajitakasa, wakaleta sadaka za kuteketezwa nyumbani mwa BWANA.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:7-16