2 Nya. 30:17 Swahili Union Version (SUV)

Kwa maana kulikuwa na wengi katika kusanyiko ambao hawajajitakasa; kwa hiyo Walawi wakamchinjia pasaka, kila mtu asiyekuwa safi, ili kuwatakasa kwa BWANA.

2 Nya. 30

2 Nya. 30:13-25