2 Nya. 23:6 Swahili Union Version (SUV)

Wala asiingie mtu nyumbani mwa BWANA, ila makuhani, na hao watumikao wa Walawi; hao wataingia, kwa kuwa hao ni watakatifu; ila watu wote watalinda malinzi ya BWANA.

2 Nya. 23

2 Nya. 23:1-12