2 Nya. 1:3 Swahili Union Version (SUV)

Basi Sulemani akaenda mahali pa juu pa Gibeoni, na kusanyiko lote naye; kwani ndipo ilipokuwako hema ya kukutania ya Mungu, aliyoifanya Musa mtumishi wa BWANA jangwani.

2 Nya. 1

2 Nya. 1:2-9