2 Nya. 1:4 Swahili Union Version (SUV)

Lakini sanduku la Mungu, Daudi alikuwa amelipandisha kutoka Kiriath-yearimu mpaka mahali Daudi alipolitengenezea; maana amelitandia hema katika Yerusalemu.

2 Nya. 1

2 Nya. 1:1-6