2 Fal. 24:14 Swahili Union Version (SUV)

Akawachukua mateka watu wa Yerusalemu wote pia, na wakuu wote, na mashujaa wote, watu elfu kumi; na mafundi wote, na wafua chuma wote; hapana mtu aliyebaki, ila waliokuwa wanyonge wa watu wa nchi.

2 Fal. 24

2 Fal. 24:11-17