2 Fal. 24:13 Swahili Union Version (SUV)

Akatoa huko hazina zote za nyumba ya BWANA, na hazina za nyumba ya mfalme, akavikata-kata vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Sulemani, mfalme wa Israeli, alivifanya katika hekalu la BWANA, kama BWANA alivyosema.

2 Fal. 24

2 Fal. 24:8-19