2 Fal. 24:15 Swahili Union Version (SUV)

Akamchukua Yekonia mpaka Babeli; na mama yake mfalme, na wake zake mfalme, na maakida wake, na wakuu wa nchi, aliwachukua mateka toka Yerusalemu mpaka Babeli.

2 Fal. 24

2 Fal. 24:10-20