2 Fal. 19:3 Swahili Union Version (SUV)

Wakamwambia, Hezekia asema hivi, Siku hii ni siku ya dhiki, na aibu, na matukano; maana watoto wa tayari kuzaliwa, wala hapana nguvu za kuwazaa.

2 Fal. 19

2 Fal. 19:2-10