1 Sam. 15:23 Swahili Union Version (SUV)

Kwani kuasi ni kama dhambi ya uchawi,Na ukaidi ni kama ukafiri na vinyago;Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA,Yeye naye amekukataa wewe usiwe mfalme.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:21-30