1 Sam. 15:24 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Sauli akamwambia Samweli, Nimefanya dhambi; maana nimeihalifu amri ya BWANA, pia na maneno yako; kwa sababu naliwaogopa wale watu, nikaitii sauti yao.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:19-32