1 Sam. 15:22 Swahili Union Version (SUV)

Naye Samweli akasema,je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihuSawasawa na kuitii sauti ya BWANA?Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu,Na kusikia kuliko mafuta ya beberu.

1 Sam. 15

1 Sam. 15:19-25