1 Sam. 1:20 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, wakati ulipowadia, Hana akachukua mimba na kuzaa mtoto mwanamume; akamwita jina lake Samweli, akisema, Kwa kuwa nimemwomba kwa BWANA.

1 Sam. 1

1 Sam. 1:18-27