1 Sam. 1:19 Swahili Union Version (SUV)

Wakaondoka asubuhi na mapema, wakasali mbele za BWANA, kisha wakarejea na kufika nyumbani kwao huko Rama; Elkana akamjua mkewe Hana; naye BWANA akamkumbuka.

1 Sam. 1

1 Sam. 1:16-28