5. Nalala na kupata usingizi,naamka tena maana wewe ee Mwenyezi-Mungu wanitegemeza.
6. Sitayaogopa maelfu ya watu,wanaonizingira kila upande.
7. Uje ee Mwenyezi-Mungu!Niokoe ee Mungu wangu!Wewe wawavunja mataya maadui zangu wote;wawavunja meno waovu wasinidhuru.
8. Mwenyezi-Mungu ndiwe uokoaye;uwape baraka watu wako.