Yeremia 30:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Humo zitatoka nyimbo za shukranina sauti za wale wanaosherehekea.Nitawaongeza na wala hawatakuwa wachache;nitawafanya waheshimiwe wala hawatadharauliwa.

Yeremia 30

Yeremia 30:17-20