Isaya 30:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, Mwenyezi-Mungu anangoja awafadhili,atainuka na kuwaonea huruma.Maana, Mwenyezi-Mungu ni Mungu atendaye haki.Heri wote wale wanaomtumainia.

Isaya 30

Isaya 30:17-21