Ezekieli 40:48 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, alinipeleka kwenye ukumbi wa kuingilia nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Akalipima lango, nalo lilikuwa na kimo cha mita 2.5 na upana wa mita 7. Na kuta zake zilikuwa na unene mita 1.5 kila upande.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:41-49