Ezekieli 40:49 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na ngazi za kupandia kwenye ukumbi wa chumba cha kuingilia, ambao ulikuwa na upana wa mita 10 na kina cha mita 6. Kulikuwa na nguzo mbili, nguzo moja kila upande wa mlango.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:41-49