Ezekieli 40:47 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mtu akaupima ua wa ndani, nao ulikuwa mraba: Pande zote zilikuwa na upana wa mita 50. Madhabahu yalikuwa mbele ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Ezekieli 40

Ezekieli 40:38-49