Zek. 9:16 Swahili Union Version (SUV)

Na BWANA, Mungu wao, atawaokoa siku hiyo,Kama kundi la watu wake;Kwa maana watakuwa kama vito vya taji,Vikimeta-meta juu ya nchi yake.

Zek. 9

Zek. 9:8-17